Hii ni mara ya sita Baada ya takribani mapambano matano ya awali aliyowahi kupambana na kujinyakulia ushindi, Karim MANDONGA amepata umaarufu Baada ya kufanya promotion nzuri kwenye mapambano mawili yaliyopita Kwa kupoteza..
MANDONGA anatarajia kuingia tena ulingoni kwenye pambano lingine litakalofanyika Kidyama beach ⛱️ mkoani kigoma, mwezi wa Tisa.