USICHOKIJUA KUHUSU KUUNGANIKA KWA ZARI NA DIAMOND.

Na 
Brightermango.
Imepita Miaka Kadhaaa bila ya Diamond na Zari kukutana.



Lakini jana kwa uwezo wake mwenyezi Mungu wamekutana  tena. Mimi ninachojua kukutana kwao sio makosa lakini ni kosa sana kwao kutuambiwa ya kuwa hali ilikuwa shwari kwa upande wao na kuwa hawajawahi kuwa na tatizo, kwa maana hiyo ni wazi hawa walikuwa na tofauti zao ambazo pia mimi na wewe pengine hatuzijui na labda hazituhusu, hata kama hazituhusu... lakini tazama hii video clip kujionena hapo 
Hii ya @mobettohtothetop na @tanashadonna  Hapa Bongo na kuwapa uja mwepesi ina Maana gani kimazingira.
â–ªPhoto credit [from google.com]



https://www.instagram.com/p/CHSfVgegwbG/?igshid=1r6p9iqk65bqo

Post a Comment

THANK YOU FOR A COMMENT!

Previous Post Next Post