BODI YATOA MIKOPO AWAMU YA TATU.

Bodi ya mikopo nchini Tanzania yatoa idadi mpya ya wanufaika wa mkopo wa elimu ya juu huku ikiwakumbusha baadhi ya waombaji ambao watakaotaka kukata rufaa kufanya hivyo ndani ya siku saba kuanzia sasa.

Idadi ya waliopata rasmi ni 3544 kwa mujibu wa taarifa rasmi ya tovuti ya bodi ya mikopo, huku fedha Jumla ya shilingi Billioni 11.04 za kitanzania zikiwekwa kwenye account za wanufaika hao ..



Aidha bodi imewataka wote walioomba kuangalia taarifa zao kwenye account za SIPA(Namely"STUDENT'S INDIVIDUAL PERMANENT ACCOUNT")

zaidi tembelea Maelezo.heslb



   'We believe, life is only a gift that expires and success in anything we have is not ours, its for human kind and so our wisdom'' -Gwemela

Post a Comment

THANK YOU FOR A COMMENT!

Previous Post Next Post