#MICHEZO MBABE WA BONDIA #CONOR MC GREGORY AAHIDI KURUDI ULINGONI KAMA ATALIPWA DOLA MIL 100 NA #WHITE.

Bondia mstaafu wa uzito wa lightweight Khabib Nurmagomedov, jumatano ya Janaa aahidi kurudi ulingoni kama atawekewa dau la mil 100 na Boss wa Ndondi ya UFC Bwana White alipokuwa akifungua shughuli za ngumi kwa jina lake nchini urusi.


"SITORUDIA PAMBANO NA Conor Mc Gregory wala PERIER" Alisema Nurmagemadov huku akisisitiza ya kuwa yeye hakuwa anapigana kwa sababu ya pesa wala umaarufu.

KWA UPANDE WAKE BOSS WA #UFC Mr White amesema kuwa ana mpango wa kumrudisha mbabe huyo mwenge mapambano 39 na kushinda yote huko ABUDHABI Saudi Arabia.
Add caption
picha na GETTYIMAGES

Je? Ni kweli kwamba Nurmagomedov hataki pambano dhidi ya Conor Mc Gregory.

lets wait and see. We believe, life is only a gift that expires and success in anything we have is not ours, its for human kind and so our wisdom'' -Gwemela

Post a Comment

THANK YOU FOR A COMMENT!

Previous Post Next Post