WAJUE PAPA GELAUS WA I, MELCHIADES NA PAPA VICTOR WA I, WOTE WAKIZALIWA AFRIKA...

KUNA PAPA watatu waliowahi kuishi hapa Duniani wakiwa ni waafrika..

Mapapa hao ni
1. papa VICTOR I.
ALikuwa ni papa wa 14 baada ya petro.

2. Papa Melchiades.
Alikuwa ni papa wa 32 baada ya petro

na wa mwisho mpaka sasa ni

3. Papa GELASIUS I.

Alikuwa ni papa wa 49.

Ingia ndani ya video kujifunza zaidi.
pia unaweza kutembelea blog yetu ya
brightermango.blogspot.com

karibu...tujifunze na usiache kususcribe ili kupokea zaidi.

imeandikwa na kusomwa kwako na

Gwemela Conrad (geologist) lakini kwa sasa anatumia fursa ya youtube kukuza uelewa kulihusu kanisa.


"New beginning starts here at brightermango. We make your day, brightens it and inspire your night"~GWEMELA

Post a Comment

THANK YOU FOR A COMMENT!

Previous Post Next Post